AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Shujaa wa filamu ya Hollywood inayojulikana kama Hotel Rwanda, Paul Rusesabagina (68) ameachiliwa kutoka jela mjini Kigali miaka miwili baada ya kuhukumiwa kifungo cha miaka 25 kwa kosa la ugaidi.
Rusesabagina amemuomba msahama Rais Paul Kagame na kukubali kujiepusha na siasa za Rwanda pamoja na kuahidi kuishi maisha yake yote kwa utulivu nchini Marekani.
Msemaji wa serikali ya Rwanda, Yolande Makolo amesema hukumu ya Rusesabagina imebadilishwa kwa amri ya Rais.
Tangazo hilo linakuja wiki mbili baada ya Kagame kusema kuwa Kigali inatafuta kusuluhisha kesi ya Rusesabagina, ambayo Qatar na Marekani zimeonesha jitihada katika kutatua kesi hiyo pamoja na mashirika ya kutetea haki za ulimwengu.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK