AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nahodha wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Mbwana Samatta baada ya kurejea nchini na wachezaji wenzake wakitokea Misri walikoifunga Uganda 1-0 aliongea na waandishi wa habari na kubwa aliwaambia nini wenzake baada ya ushindi.
“Niliwapongeza kwa ushindi lakini niliwataka wasahau mara moja iwezekanavyo kwa sababu game ya marudiano ni baada ya siku tatu, baada ya kutoka pale niliwaomba wasahau moja kwa moja”>>> Samatta
Tanzania akishinda mchezo wa Jumanne dhidi ya Uganda tena na akapata sare mchezo wake unaofuatia kama ikiwa Algeria atafanikiwa pia kumfunga Niger katika mchezo wa marudiano Taifa Stars watakuwa na alama 8 ambazo zitawapeleka fainali ya AFCON kwa mara ya tatu katika historia.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK