AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya kufanikiwa kutinga robo fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika, mabingwa wa soka Tanzania Bara Yanga wamepanda katika viwango vya ubora CAF
Yanga imepanda mpaka nafasi ya 27 kutoka nafasi ya 75 waliyokuwa msimu uliopita
Yanga imekusanya alama 10 katika michuano ya Shirikisho msimu huu
Wananchi wana nafasi zaidi ya kupanda kama watafanikiwa kuvuka hatua ya robo fainali kwenda nusu fainali, kuingia fainali na hata kutwaa ubingwa
Aidha Tanzania imepanda mpaka nafasi ya saba katika viwango vya ubora baada ya klabu za Simba na Yanga kutinga robo fainali ya michuano ya CAF
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK