Yanga yapanda katika viwango vya ubora CAF yashika nafasi hii

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




 Baada ya kufanikiwa kutinga robo fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika, mabingwa wa soka Tanzania Bara Yanga wamepanda katika viwango vya ubora CAF

Yanga imepanda mpaka nafasi ya 27 kutoka nafasi ya 75 waliyokuwa msimu uliopita

Yanga imekusanya alama 10 katika michuano ya Shirikisho msimu huu

Wananchi wana nafasi zaidi ya kupanda kama watafanikiwa kuvuka hatua ya robo fainali kwenda nusu fainali, kuingia fainali na hata kutwaa ubingwa

Aidha Tanzania imepanda mpaka nafasi ya saba katika viwango vya ubora baada ya klabu za Simba na Yanga kutinga robo fainali ya michuano ya CAF
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad