Waliofutiwa Matokeo ya Kidato cha Nne, Wakiwemo Walioandika Matusi Waruhusiwa Kurudia Mitihani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imetoa idhini ya kurudia Mtihani kwa Wanafunzi 337 waliofutiwa Matokeo ya Kidato cha 4 kwa Mwaka 2022 baada ya kuomba fursa ya Kurudia Mtihani huo

Kati yao, Wanafunzi 4 walifutiwa Matokeo na Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) baada ya kuandika Matusi katika Mitihani yao

Waziri wa Elimu, Profesa Adolf Mkenda, amesema Utaratibu wa kurudia Mitihani utakwenda sambamba na Mitihani ya Kidato cha 6 ambayo inatarajiwa kuanza Mei 2, 2023. Watawekewa utaratibu wa kuchanganyika pamoja wakati wa kurudia Mitihani hiyo
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad