Nai Atoa Mpya 'Sitaki Tena Vijana, Nataka Mbaba'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Kwani Vijana wa Bongo Mnakwama wapi?

Mrembo @officiall_nai amesema Kwa Sasa Yupo single na endapo atataka kuingia kwenye mapenzi basi atatafuta Mbaba flani hivi lakini sio kutoka tena na Vijana

Nai amefunguka kupitia #NewsBeat ya The Switch na kumuacha @mtuimara akiwa na maswali "tumekufanya nini Nai?"

Hata hivyo Nai ametoa sababu na kusema vijana wengi bado hawajatulia na yeye hataki tena mambo ya kurukaruka Bali anataka mtu atakayetulia naye

Unakubaliana na Nai Kwa Asilimia Ngapi?
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad