AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri wa Mambo ya Ndani nchini Kenya, Prof. Kithure Kindiki amesema mhubiri mwenye utata, Paul Mackenzie wa kanisa la Good News International Church aliajiri watu wenye silaha kuwachunga wafuasi wake kufunga mpaka pale watakapokufa kwa njaa.
Akizungumza mbele ya kamati ya Seneti inayochunguza tukio hilo siku ya Ijumaa, amesema Mackenzie alitumia genge lililomiliki silaha za jadi kuwaua baadhi ya waumini waliochukua muda mrefu kufa na wale waliobadilisha mawazo yao wakati wa kufunga.
"Mackenzie alikuwa ameajiri vijana wenye silaha ili kuzunguka wafuasi wake na kusimamia njaa yao hadi kufa. Wafuasi waliobadili mawazo yao kuhusu njaa waliuawa kwa kunyongwa au kupigwa na vitu butu,” amesema.
Hata hivyo amesema katika uchunguzi uliofanywa umebaini watu hao walilishwa vizuri, milo mitatu kwa siku, tofauti na ambavyo aliwaagiza waumini wa kanisa lake.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK