Feisal Salum 'Natokwa Machozi ya Furaha'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mchezaji wa klabu ya Yanga na Timu ya Taifa ya Tanzania, Feisal Salum, ameeleza kuwa haamini anachokiona na anatokwa na machozi ya furaha kwa mapenzi makubwa ya Watanzania juu yake.

“Siamini ninachokiona, natokwa na machozi ya furaha kwa mapenzi makubwa ya Watanzania juu yangu. Mimi ni kijana mwenye nidhamu na busara ni vile nimeamua kunyamaza na kwenda CAS.
.
“Ninachokifanya ni kutetea Haki yangu ambayo nimeikosa hapa, lakini sio kwangu tu bali kwa wachezaji wote wazawa ambao hawasemi na wanasaini mikataba bila kujua. Endeleeni kunichangia nikapate haki na kutengeneza misingi kwa wazawa wengine na thamani zao.
.
“Wale mnaonipigia Simu siwezi pokea simu zote sababu simu ni nyingi sijawahi kuona, endeleeni kunichangia ndugu zangu”.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad