AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muigizaji wa sinema za Kibongo, Wema Sepetu, amefunguka kuwa mpenzi wake wa sasa Whozu anampa amani ya moyo.
Akizungumza na Clouds TV mapema hii leo Mei 24, 2023, Wema alisema mwamba anahitaji ulinzi maana ndio furaha yake.
"Chibaba anaendelea vizuri. Na @whozu_ amekuwa na influence kubwa na nzuri sana. Na inaanza kwangu mwenyewe hata ninavyojisikia sijawahi kujisikia ninavyojisikia tangu niwe kwenye Mahusiano kama nilivyokuwa na Chibaba. Pia amenipa positive energy fulani hivi. Kiukweli Kijana (Whozu) apewe ulinzi" @wemasepetu
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK