Yanga: Hatuna Hofu Na Waarabu Mei 28 Uwanja wa Mkapa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Ofisa Habari wa Yanga, Ali Kamwe
UONGOZI wa Yanga umewekwa wazi kuwa hauna hofu na wapinzani wao USM Alger Waarabu wa Algeria.

Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa Mei 28 ikiwa ni fainali ya kwanza na ile ya pili inatarajiwa kuchezwa Juni 3 nchini Algeria.

Akizungumza na Spoti Xtra, Ofisa Habari wa Yanga, Ali Kamwe alisema kuwa wanatambua ushindani uliopo watatumia muda uliopo kufanya maandalizi mzuri.

“Kufika hapa kwenye hatua ya fainali sio jambo jepesi ni faida kwa Watanzania wengi na inazidi kukuza soka letu kimataifa hivyo wapinzani wetu hatuna hofu nao zaidi ya kuwaheshimu.

“Tulikuwa tunafanya hivyo kwenye ngazi zote tulizokuwa tunacheza mechi za kimataifa kwa kuwa na nidhamu huku wachezaji wakitimiza majukumu yao wanayopewa na benchi la ufundi.

“Mashabiki kwenye mchezo wetu utakaochezwa Uwanja wa Mkapa ni muda wa kujiteza kwa wingi kuwapa nguvu wachezaji kwani wao ni muhimu na wamekuwa wakifanya hivyo kwenye mechi zetu ambazo tunacheza,” alisema Kamwe.

Stori: Lunyamadzo Mlyuka

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad