Yanga Yarejea Dar Baada ya Ndege Kushindwa Kutua Uwanja wa Dodoma

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa

Uongozi wa Klabu ya Yanga unautaarifu umma kuwa msafara wa kikosi cha klabu hiyo uliokuwa umesafiri mchana wa leo kuelekea Singida kwa kupitia Dodoma, umerejea jijini Dar es Salaam baada ya Ndege waliyokuwa wakisafiria kushindwa kutua kwenye uwanja wa ndege mkoani Dodoma.

Uongozi wa Yanga unapenda kuwatoa wasiwasi wanachama na mashabiki kuwa wachezaji wote na benchi la ufundi wako salama na hakuna tatizo lolote lililowakuta kutokana na changamoto hiyo.

Aidha uongozi unaendelea na mipango ya haraka ya kuhakikisha timu inasafiri kuelekea mkoani Singida kwa ajili ya kucheza mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Singida Big Stars, uliopangwa kuchezwa Mei 4, 2023 kwenye uwanja wa Liti

#KitengeSports
_________

LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad