AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kuna kila dalili kuwa Fiston Mayele anaweza kuachana na Yanga kipindi hiki cha dirisha la usajili kutokana na kiwango bora alichoonesha msimu uliopita.
Mashabiki wengi wa Yanga wametakiwa kujiandaa kisaikolojia kwani wachezaji hawapo katika vilabu kwa mapenzi bali ni sehemu ya ajira kama zilivyo kazi nyingine.
Mchambuzi wa Miche
zo kutoka kituo cha E-fm na Tv E Geoff Lea anasema;
‘’Congo kungekuwa na maisha mazuri Fiston Mayele angebaki Congo asingekuja Tanzania, kwa sababu anatafuta maisha kwaajili ya familia yake na yeye binafsi ikija Ofa kutoka Saudia ambako wanalipa vizuri kuliko Yanga, ofa kutoka Afrika Kusini inalipa vizuri kuliko Yanga, Amerika ya Kaskazini, Angola ama Ulaya atakuwa mjinga kubaki Yanga"
"Hata ingekuwa wewe kuna timu inakulipa mil. 50 na nyingine mil.20 na sifa nyingi utakwenda kwenye mil.50 wakati mwingine maisha ya mchezaji yanaweza kumalizwa kwa rafu tu.’’
Unamuona Mayele akibaki Yanga msimu ujao?
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK