Mwanafunzi wa Sekondari Pandahill Adaiwa Kupotea Akikimbia Adhabu Shuleni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Ester Noah Mwanyilu, Mwanafunzi wa Kidato cha Tano, Mchepuo wa PCB, Shule ya Sekondari Pandahill hajulikani alipo baada ya kudaiwa kupotea zaidi ya mwezi mmoja uliopita wakati akikimbia adhabu kutoka shuleni hapo

Sauti inayodaiwa ni mzazi wa Mwanafunzi mtoto huyo inaeleza kuwa, maelezo hayo yametolewa na Shule husika licha ya kuwa kuna mazingira tatanishi. Pia, inadaiwa kuwa kabla ya kupotea Ester aliandika barua ambayo ndani yake aliandika “Naomba Mwalimu Jimmy aache kuwafanya Wanafunzi kuwa na maisha magumu kama alivyonifanyia mimi.”

Alipoulizwa kuhusu suala hilo, Afisa Elimu Mbeya (Sekondari), Ernest Hinju amesema “Ni tukio la kweli, lipo chini ya Jeshi la Polisi, wanapeleleza na ndio wana majibu lakini bado Mtoto hajapatikana.”

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad