AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Sauti inayodaiwa ni mzazi wa Mwanafunzi mtoto huyo inaeleza kuwa, maelezo hayo yametolewa na Shule husika licha ya kuwa kuna mazingira tatanishi. Pia, inadaiwa kuwa kabla ya kupotea Ester aliandika barua ambayo ndani yake aliandika “Naomba Mwalimu Jimmy aache kuwafanya Wanafunzi kuwa na maisha magumu kama alivyonifanyia mimi.”
Alipoulizwa kuhusu suala hilo, Afisa Elimu Mbeya (Sekondari), Ernest Hinju amesema “Ni tukio la kweli, lipo chini ya Jeshi la Polisi, wanapeleleza na ndio wana majibu lakini bado Mtoto hajapatikana.”
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK