AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakati Sakata La #Anita Na #Davido Likiendelea, Mwanamke Mwingine Kutoka Nchini Ufaransa Aitwaye @ivannabayy Na Yeye Ameibuka Akidai Kuwa Amepatiwa Ujauzito Na @davido
#Ivanna amesambaza video yake akipima ujauzito kuthibitisha kuwa amepachikwa ujauzito na mwimbaji huyo Kutoka Nigeria.
Ukiachilia Mbali Hilo, Pia @ivannabayy ametaka kujua wapo wangapi kwa Davido ili waweze kuona uwezekano wa kuanzisha timu ya mpira kutokana na kuwa na idadi kubwa ya wazazi wenza ambao wameendelea kujitokeza.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK