Yanick Bangala awashukuru Yanga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Kiungo wa Yanga, Yannick Bangala amesema haondoki katika klabu ya hiyo kwani anahesmu mkataba wake hadi 2024.

Kauli hiyo ya Bangala inakuja ikiwa ni wiki kadhaa baada ya kuhusishwa kutaka kuondoka klabuni hapo.


"Napenda kuwashukuru mashabiki wote wa Yanga SC kwa sababu siku za hivi karibuni mmeniandika sana kuhusiana na mwenendo wangu katika klabu hii"

"Kama mjuavyo nina mkataba na klabu hii (Yanga SC) mpaka 2024. Na nimepanga kuheshimu mkataba wangu na klabu hii nzuri mpaka mwisho kwa 100%"

"Nimejitoa kufikia matarajio ya timu tukiongozwa na benchi jipya la ufundi, kamati ya utendaji na ninyi mashabiki, kwa sababu bila ninyi hatutaweza kufikia matarajio" amesema Yannick Bangala.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad