Kaizer Baada ya Kichapo cha Yanga Chiefs Waenda Kutembea Zanzibar

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Young Africans SC kwa kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar leo imewaalika Klabu ya Kaizer Chiefs kutembelea Visiwa vya Zanzibar kama sehemu ya utalii katika visiwa vyenye vivutio bora.

Msafara huo ambao unaongozwa na Rais wa Young Africans Eng.Hersi @caamil_88 kwa uenyeji wa Makamu wa Rais Arafat Haji @arafat__ah wakiwa na Wageni wao chini ya BOBBY KAIZER utatembelea maeneo kadhaa ya vivutio na historia ya visiwani Zanzibar.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad