Diamond Platnumz Awachana Vibaya Wanaombeza 'Niwazapo Hamuwezi Fika'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Diamond Platnumz Awachana Vibaya Wanaombeza 'Niwazapo Hamuwezi Fika'

Staa wa Muziki Diamond Platnumz amewachana waliomsema alivyoachia wimbo wake wa Shu.

Hii ni baada ya mapokeo mazuri ya Wimbo huo huku akisema kuwa anapowaza ni ngumu mtu mwingine kufika.

"Hii Shu imejua kunidhalilishia watu, jamani mnapoona natoa ngoma punguzeni uchambuzi ushuzi maana niwazapo hamuwezi fika...na sijawa tu msanii kwa bahati mbaya, ni Mwenyezi Mungu alinijaalia niwe hivyo,kuwa anavyonionesha ambavyo akili yako haiwezi kamwe viona."

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad