AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nahodha wa Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars Mbwana Samatta @samagoal77 leo amefunga goli lake la kwanza katika mechi za mashindano toka ajiunge na PAOK ya Ugiriki baada ya kuichezea kwa dakika 435.
Samatta amefunga goli hilo dakika ya 56 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Volos huo ukiwa ni mchezo wa Ligi Kuu ya Ugiriki.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK