AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwenye Hili Tuseme tu Simba ni BORA Kuliko Yanga
Mtangazaji na mchambuzi wa soka Prisca Kishamba, amesema Yanga SC, inakosa aina ya washambuliaji kama waliopo Simba SC.
Prisca amesema, laiti ingekuwa na washambuliaji kama wa Simba kutokana na ubora wao basi wangekuwa hatari sana.
“Mtakubaliana na mimi Yanga ya Gamondi inakosa washambuliaji hatari kama walionao Simba kwa sasa hivi ,mtu kama Baleke kwa nafasi zilizotengenezwa na Yanga tungekuwa tunazungumza kitu tofauti na hiki tunachokisema sasa “
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK