AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mrembo Madeleine Aweka Ushahidi wa PICHA Akiwa Kitandani na Kiba
Mrembo aliyedai kuwa kwenye mahusiano na AliKiba kisha kumuumiza, leo ameamua kuweka ushahidi wa picha na video za kitandani akiwa na AliKiba akiwajibu waliosema anasema uongo.
Madeleine maarufu kama The Tanzanian Lioness ambaye ni Video vixen, Mwanamitindo na pia msanii kutoka Tanzania, ameweka wazi kuwa alikuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na Alikiba kuanzia Oktoba mwaka 2022 mpaka mwezi Februari mwaka huu.
Kwenye mahojiano na Wasafi FM amelalamika kuwa Alikiba alimnyanyasa kingono na kumtumia, kisha kumwacha bila kumtimizia ahadi ambazo alikuwa amemuhaidi awali kwenye mahusiano yao.
Kupitia Instastory pia mrembo huyo amepost video ambayo anaonekana akiwa kwenye gari la Alikiba wakienjoy pamoja na kupost baadhi ya chats zake na Alikiba.
"Alikiba ni mtu ambaye hawaheshimu wanawake, alinitafuta kwa ajili ya kazi ya video yake ila mambo yalikua tofauti alianza kunitaka," amesema mrembo huyo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK