Petroli Yaendelea Kupanda BEI Tanzania

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Petroli Yaendelea Kupanda BEI Tanzania

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza bei kikomo za bidhaa za Mafuta zilizoanza kutumika leo Oktoba 4, 2023 ambapo kwa Dar es Salaam Petroli ni Tsh. 3,281, Dizeli 3,448 na Mafuta ya Taa Tsh. 2,943 ikiwa na ongezeko la Tsh. 68 kwa kila Lita ya Petroli


Tanga, Petroli ni Tsh. 3,327, Dizeli 3,494, Mafuta ya Taa Tsh. 2,989 na Mtwara, Petroli itauzwa Tsh. 3,353, Dizeli Tsh. 3,520 na Mafuta ya Taa Tsh. 3,016 ambapo EWURA imesema ongezeko hilo linatokana na kupanda kwa 4.21% ya Gharama za Mafuta katika Soko la Dunia


Aidha, EWURA imesema gharama za uagizaji Mafuta zimepanda hadi kufikia 17% kwa Petroli, 62% kwa Dizeli na 4% kwa Mafuta ya Taa. Pia, Bei za Mafuta zimeathiriwa na uamuzi wa wazalishaji wakubwa wa Mafuta duniani (OPEC+) waliopunguza uzalishaji pamoja na vikwazo vya kiuchumi vilivyowekwa dhidi ya

Urusi


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad