Mvua Kubwa Kunyesha Kwa Siku Tano TMA Yatoa Tahadhari

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mvua Kubwa Kunyesha Kwa Siku Tano TMA Yatoa Tahadhari


Mamlaka ya hali ya hewa Tanzania (TMA), imetoa tahadhari ya uwepo mvua kubwa kwa muda wa siku tano kwenye maeneo machache ya mikoa ya Dar es Salaam, Tanga, Pwani ikijumuisha visiwa vya Mafia pamoja na Visiwa vya Pemba na Unguja kuanzia Novemba 21-25, 2023.


TMA imetoa angalizo kwa Wananchi kuendelea kuchukua tahadhari, ambapo athari zinazoweza kujitokeza ni Mafuriko kuathiri maeneo machache, athari kwa usafirishaji, baadhi ya barabara kutopitika na vifo vinaweza kujitokeza kutokana na mafuriko pamoja na kuathirika kwa baadhi ya Shughuli za Kiuchumi.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad