AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais wa klabu ya TP MAZEMBE, Moïse Katumbi amenunua tiketi zote za mchezo wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya klabu hiyo dhidi ya Mabingwa wa African Football League, Mamelodi Sundowns siku ya Jumamosi, Desemba 2, 2023.
Katumbi amewataka mashabiki waende kuchukua tiketi bure kabisa ili wakafurahie burudani ya soka wakati Mabingwa hao wa zamani wa CAFCL wakikutanisha pembe zao katika dimba la TP Mazembe, Lubumbashi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK