Taarifa Kuhusu Basi la Mwendokasi Kuungua Moto, Majeruhi na Chanzo cha Moto

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Basi la Mwendokasi Lateketea Kwa Moto Kibamba

Basi la Mwendokasi limewaka moto hii leo Desemba 26, 2023, katika eneo la Kibamba Chama, jijini Dar es Salaam ambapo tayari Jeshi la Zimamoto na Uokoaji limeuzima moto huo.

Taarifa za awali zimeeleza kuwa hadi sasa hakuna mtu aliyejeruhiwa kutokana na moto huo na kwamba chanzo cha basi hilo kuwaka bado hakijajulikana.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad