AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Timu ya SIMBA Kifua Mbele Wapania Kuua Mtu, Watua Botswana Kifalme |
Wekundu wa Msimbazi Simba SC tayari wamewasiri nchini Botswana tayari kwa ajili ya kupepetana na Jwaneng Galaxy hapo kesho Desemba 2, 2023.
Simba wamewasiri wakiwa na wachezaji 20 pamoja benchi zima la ufundi linaoongozwa na Benchikha.
Simba itacheza mchezo huo ambao utakuwa wa pili wa Makundi ya Klabu Bingwa Afrika mara baada ya mchezo wa awali kutoka sare ya 1-1 dhidi ya ASEC Mimosas katika Uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar.
Jwaneng wao mchezo wa awali walikuwa ugenini dhidi ya Wydad Casablanca na kufanikiwa kuibuka na ushindi wa 1-0.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK