Waziri January Makamba Afunguka Kuhusu Mtanzania Mwigine Aliyeuawa Huko Israel

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Waziri wa Mambo ya Nje, January Makamba amesema “Tumejulishwa na Serikali ya Israel kwamba #JoshuaMollel, kijana mwingine wa Kitanzania aliyekuwa anasoma Nchini Israel aliuawa mara tu baada ya kutekwa na Kundi la Hamas mnamo Oktoba 7, 2023.”

Ameongeza “Nimeongea na Mzee Mollel (Baba wa Joshua), kuhusu ujumbe huo wa Serikali ya Israel. Tunaendelea na mpango wa awali wa kuwapeleka Mzee Mollel na Mwanafamilia mwingine pamoja na Afisa wa Serikali Nchini Israel ili kupata taarifa zaidi. Kwa ridhaa ya Familia tutatoa taarifa za zaidi katika siku zijazo."
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad