AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri wa Mambo ya Nje, January Makamba amesema “Tumejulishwa na Serikali ya Israel kwamba #JoshuaMollel, kijana mwingine wa Kitanzania aliyekuwa anasoma Nchini Israel aliuawa mara tu baada ya kutekwa na Kundi la Hamas mnamo Oktoba 7, 2023.”
Ameongeza “Nimeongea na Mzee Mollel (Baba wa Joshua), kuhusu ujumbe huo wa Serikali ya Israel. Tunaendelea na mpango wa awali wa kuwapeleka Mzee Mollel na Mwanafamilia mwingine pamoja na Afisa wa Serikali Nchini Israel ili kupata taarifa zaidi. Kwa ridhaa ya Familia tutatoa taarifa za zaidi katika siku zijazo."
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK