AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally amewatumia salam Yanga kwamba, wamshukuru sana mtu aliyewashauri wajivunje kwenye Mapinduzi Cup na kutolewa kwenye mashindano hayo!
Ahmed amesema, Simba ilipanga kuwafanyia umafia ambao ingewachukua muda mrefu sana mashabiki wa Yanga kusahau ambacho kingewakuta Mapinduzi Cup.
Lakini pia hakuacha kuwazungumzia Azam FC ambao pia wameondolewa kwenye mashindano hayo baada ya kufungwa na Singida Fountain Gate kwenye mchezo wa Robo Fainali.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK