Mwijaku Amepost Picha Akiwa na Wema Sepetu Kisha Kuandika yafuatayo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwijaku Amepost Picha Akiwa na Wema Sepetu Kisha Kuandika yafuatayo
Mwijaku na Wema Sepetu

 Mwijaku Amepost Picha Akiwa na Wema Sepetu Kisha Kuandika yafuatayo

"Katika kizazi cha leo, ukiondoa s3x katika mahusiano utagundua kuwa asilimia kubwa ya wanaume hawana jambo lingine la maana la kuwepo katika mahusiano.Vilevile ukiondoa pesa utagundua asilimia kubwa ya wanawake hawana jingine wanalohitaji katika mahusiano.


Bila pesa asilimia kubwa ya wanawake wataona haina haja ya kuwa katika mahusiano.Na bila s3x, utagundua kua wanaume hawaoni haja ya mahusiano.Namnukuu dada mmoja hivi, aliongea haya


"Sisi wanawake tunataka boyfriends wetu watutunze, lakini hakuna cha thamani tunachokiongeza katika maisha yao zaidi ya kuwapa s3x tu...."


Wanawake nao wanalalamika kwamba wanaume wanapenda sana s3x basi, wakishapata s3x wanawakimbia na ule upendo waliokua wakiuonesha unapoa.Ni wakati wetu sote kubadili mtazamo. Wanaume wengi siku hizi wanalalamika sana kwamba mnapenda pesa, sio wote ila baadhi yenu ni kweli mmeweka pesa kipaumbele


Na vile vile ni kweli asilimia kubwa ya wanaume wako after s3x.Tujifunze kuongeza thamani katika mahusiano...mahusiano sio kupelekeana kula bata na mafichoni Lodge bali ni kuombeana tunapokuwa down, kutiana moyo kuendelea kupambana na maisha..kusikilizana, na kupeana ushauri wenye tija, that's smart dating


Inakua ni kazi bure pale ambapo mwanaume unajua jinsi ya kutengeneza pesa lakini unapata mwanamke ambae anajua kutumia tu. Ndio maana kwenye mahusiano ni vema nyote wawili mkawa na falsafa moja kuhusiana na pesa.Vinginevyo utakua unacheza soccer safi la kushambulia, lakini defense ni dhaifu mno. Itakua ni ngumu kwa hiyo timu kushinda haitajalisha ni kwa kiasi gani inao washambuliaji makini wanaozifumania nyavu


Na mwanamke ni kama safu ya ulinzi.My wisdom; "As for you ladies, Be a Woman of virtue and purpose...Slay with sense and dignity..As for you Men, You gain more value as a man when you refuse to s3x with any woman just because she is available. The class you gain is invaluable. That's the Gentleman's Code."

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad