AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
KENYA: Mahakama ya Mjini #Mombasa imemhukumu Mtanzania Mwanamke kifungo cha Miaka 45 jela baada ya kumkuta na hatia ya kusafirisha Dawa za Kulevya aina ya Heroin zenye thamani ya Ksh.16,167,000 (takriban Tsh. 253,206,340)
Maimuna Jumanne Amir alikamatwa Machi 14, 2021 akiwa na Heroin Kilo 5.3 zilizofichwa katika begi la kusafiria akiwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa #Moi huko Mombasa
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK