Mtanzania Mwanamke Ahukumiwa Kifungo Miaka 45 KENYA Kwa Kukutwa na Dawa ya Kulevya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mtanzania Mwanamke Ahukumiwa Kifungo Miaka 45 KENYA Kwa Kukutwa na Dawa ya Kulevya


KENYA: Mahakama ya Mjini #Mombasa imemhukumu Mtanzania Mwanamke kifungo cha Miaka 45 jela baada ya kumkuta na hatia ya kusafirisha Dawa za Kulevya aina ya Heroin zenye thamani ya Ksh.16,167,000 (takriban Tsh. 253,206,340)

Maimuna Jumanne Amir alikamatwa Machi 14, 2021 akiwa na Heroin Kilo 5.3 zilizofichwa katika begi la kusafiria akiwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa #Moi huko Mombasa

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad