AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Nimeitazama Draw lakini sina haraka Sana Kwa sababu nimewatazama wapinzani wangu Wote vizuri, nimetazama michezo yote kwenye ligi ya mabingwa na nimetazama kama kocha na sio Mchambuzi hivyo siwezi kuwa na hitimisho lolote. Lakini Kwa bahati nzuri tunakwenda kwenye mapumziko ya FIFA, Hapo sasa maandalizi yangu na akili yangu yote itakuwa Juu ya Yanga"
"Na Nitakwenda mbali zaidi ya nitakavyo weza kufatilia Profile Yao, najua wanakocha mzuri Miguel Gamondi ambaye miaka kadhaa nyuma alipita hapa Mamelod lakini pia wanatimu nzuri , yenye muundo mzuri hivyo tusubiri Kabla sijatoa hitimisho lolote
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK