Diamond Platnumz na Harmonize Wasalimiana Kwa Kupeana Mikono Ikulu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Diamond Platnumz na Harmonize Wasalimiana Kwa Kupeana Mikono Ikulu

Mastaa wa Bongofleva Diamond Platnumz na Harmonize jioni ya leo wamekutana Ikulu Jijini Dar es salaam na kusalimiana kwa kupeana mikono wakati wa futari iliyoandaliwa na Rais Samia na kuwaalika Watu mbalimbali wakiwemo Wasanii.


Harmonize alionekana kumfuata na kumsalimia Diamond aliyekua ameka pembeni ya Meneja Sallam ambapo katika sehemu ya maongezi yao, Harmonize alisikika akimwambia Diamond ‘nitakupigia kesho, pokea basi’.


Harmonize alisainiwa na Lebo ya WCB zaidi ya miaka tisa iliyopita lakini aliondoka kwenye lebo hiyo miaka zaidi ya minne iliyopita na toka hapo uhusiano wa wawili hao ulivunjika.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad