AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mmililiki Wa Eneo Alikouawa Rapa Takeoff “810 Billiards & Bowling” Huko Houston, Texas Ameiomba Mahakama Ifutilie Mbali Kesi Inayomkabili Ya Kwamba Eneo Lake Ni Moja Ya Sababu Ya Kifo Cha Takeoff.
‘810 Billiards & Bowling’ Wamekanusha Kuhushika Na Chochote Kibaya Katika Kifo Cha Takeoff Huku Wakitupa Lawama Kwa Mshukiwa Wa Mauaji Ya Takeoff ‘Patrick Clark’ Ambaye Yupo Jela Kwa Sasa Na Wengine Akiwemo Takeoff Aliyekuwa Akicheza Kamari ‘Mchezo Wa Kete’ Na Wenzake Eneo Hilo
Kumbuka Juni Mwaka Jana 2023 Mama Mzazi Wa Marehemu Takeoff “Titania Davenport Alienda Mahakamani kumshtaki mmiliki wa eneo la Houston ‘810 Billiards & Bowling’ ambalo Takeoff alipigwa risasi Na Kuuawa
Kwenye mashtaka hayo, Mama Takeoff alidai kwamba, eneo hilo lilishindwa kuweka ulinzi wa kutosha pamoja na vifaa vya kubaini silaha ndani, hivyo aliwashtaki kwa uzembe. Na Alidai Anahitaji kulipwa fidia chini ya sheria ya Texas kwa madhara ambayo ameyapata ikiwemo ya Kiakili, maumivu na kukosa kipato. Fidia Ya Kiasi Cha $1M Zaidi Ya Tsh Bilioni 2.3/=
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK