Mamelodi Wapewa Onyo Dhidi ya Yanga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Mamelodi Wapewa Onyo Dhidi ya Yanga

Mwandishi nguli wa habari za michezo barani Afrika Mamadou Gaye amezungumza na PitchSide Podcast ya Mamelodi na kwenye mazungumzo hayo ,amewapa tahadhari Mamelodi kuelekea mechi yao dhidi ya Yanga


Mamadou ametaja baadhi ya sababu ikiwemo ya Yanga kutoka kupoteza kwenye mechi yao ya mwisho dhidi ya Azam FC hii imewaongezea umakini lakini pia kucheza fainali kwenye CAF CC msimu uliopita kunawapa shauku ya kufanya vizuri kwenye CAF CL


“Kama wameweza kucheza fainali ya CAF Confederation Cup kwanini washindwe kucheza Nusu Fainali ya CAF Champions League “


“Kama Mamelodi itajisahau basi itashangazwa “

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad