AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rapa maarufu wa kike nchini Tanzania, RosaRee amewekwa kwenye chapisho lililotolewa na GRAMMY.
RosaRee ametokea kwenye chapisho hilo akiwa katika orodha ya Rappers 10 wa kike kutoka bara la Afrika wanaofanya muziki wa HipHop.
Rosa amewekwa kwenye Page ya juu akiwa pamoja na Femi One wa Kenya, Sho Mad jozi wa Afrika Kusini, Deto Black Nigeria, Nadai Nakai Zimbabwe, Candy Bleakz Nigeria, SGaWD Nigeria, Lifesize Teddy Nigeria, Eno Barony Ghana, Deela Nigeria.
Ambapo Chapisho hilo limemdadavua kwa undani Rosa Ree huku likiielezea ngoma ya Mama Omolo na kuizungumzia ilivyokuwa na ubora wa kipekee.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK