AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Kutokana na sababu za majeraha, wachezaji hao ni pamoja na Pacome, Khalid Aucho na Kwasi Yao, lakini kuna baadhi ya wachezaji wengine wawili tunaweza kuwakosa kwa kuwa wamechelewa kujiunga na timu kutokana na majukumu ya timu zao za taifa." alisema Gamondi.
Hata hivyo, kocha huyo aliongeza kwa kusema Yanga ipo tayari kupambana na wapinzania wao kwenye mchezo wa nyumbani na ugenini.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK