Utata Tarehe Kumbukizi ya Kifo cha Mwinyi, Majibu ni haya

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa

 

Utata Tarehe Kumbukizi ya Kifo cha Mwinyi, Majibu ni haya

Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma, amesema baada ya maziko ya Rais Mstaafu, Ali Hassan Mwinyi kumalizika atakaa na Mwanasheria Mkuu wa Tanzania, kujadili siku rasmi ya kumkumbuka kiongozi huyo.


Rais Mwinyi alifariki dunia Februari 29, 2024 tarehe ambayo ni adimu, huwa haipo kila mwaka, inajirudia kila baada ya miaka minne

_________

LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad