AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Vijana wanne waliohusika kwenye shambulio lililoua watu zaidi ya 130 nchini Urusi katika eneo la Crocus City Hall, wamefikishwa Mahakamani wakiwa na majeraha.
Majeraha hayo yametokana na nguvu iliotumika ili kufanikisha kuwakamata. Washtakiwa hao wote wametambuliwa kwa majina ambayo ni Saidakrami Murodali (30), Dalerdzhon Mirzoyev (32), Shamsidin Fariduni (25) na Muhammadsobir Fayzov mwenye miaka 19.
Washtakiwa wote wamekiri kuhusika na mauaji hayo, hivyo kesi imeahirishwa na wataendelea kubaki mahabusu hadi watakaporejeshwa Mahakamani Mei 22, 2024.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK