Wauaji wa Shambulio Urusi Wafikishwa Mahakamani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Vijana wanne waliohusika kwenye shambulio lililoua watu zaidi ya 130 nchini Urusi katika eneo la Crocus City Hall, wamefikishwa Mahakamani wakiwa na majeraha.

Majeraha hayo yametokana na nguvu iliotumika ili kufanikisha kuwakamata. Washtakiwa hao wote wametambuliwa kwa majina ambayo ni Saidakrami Murodali (30), Dalerdzhon Mirzoyev (32), Shamsidin Fariduni (25) na Muhammadsobir Fayzov mwenye miaka 19.

Washtakiwa wote wamekiri kuhusika na mauaji hayo, hivyo kesi imeahirishwa na wataendelea kubaki mahabusu hadi watakaporejeshwa Mahakamani Mei 22, 2024.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad