AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwamba anapitia wakati mgumu sana , katoka kuwa Champion wa CAFCC msimu uliopita na USMA then kachukua Super Cup mbele ya Ahly …. Lakini kwenye majukumu yake mapya akiwa na Simba baada ya kuondoka USMA : kumekuwa kugumu sana .
Hii picha inaelezea jinsi gani amekata tamaa na msimu huu !… Out CAFCL , Out CRDB FEDERATION CUP , NBCPL upo nyuma kwa Alama 6 against anayeongoza ligi …. Next game dhidi ya Yanga (Derby) .
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK