Kocha Benchikha Hana Hamu Abaki Kwenye Benchi Baada ya Mechi Akitafakari

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kocha Benchikha Hana Hamu Abaki Kwenye Benchi Baada ya Mechi Akitafakari

Mwamba anapitia wakati mgumu sana , katoka kuwa Champion wa CAFCC msimu uliopita na USMA then kachukua Super Cup mbele ya Ahly …. Lakini kwenye majukumu yake mapya akiwa na Simba baada ya kuondoka USMA : kumekuwa kugumu sana .

Hii picha inaelezea jinsi gani amekata tamaa na msimu huu !… Out CAFCL , Out CRDB FEDERATION CUP , NBCPL upo nyuma kwa Alama 6 against anayeongoza ligi …. Next game dhidi ya Yanga (Derby) .
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad