Kocha Benchikha Hana Hamu Abaki Kwenye Benchi Baada ya Mechi Akitafakari

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa

Kocha Benchikha Hana Hamu Abaki Kwenye Benchi Baada ya Mechi Akitafakari

Mwamba anapitia wakati mgumu sana , katoka kuwa Champion wa CAFCC msimu uliopita na USMA then kachukua Super Cup mbele ya Ahly …. Lakini kwenye majukumu yake mapya akiwa na Simba baada ya kuondoka USMA : kumekuwa kugumu sana .

Hii picha inaelezea jinsi gani amekata tamaa na msimu huu !… Out CAFCL , Out CRDB FEDERATION CUP , NBCPL upo nyuma kwa Alama 6 against anayeongoza ligi …. Next game dhidi ya Yanga (Derby) .
_________

LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad