AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda amefika kwenye viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam leo Jumatatu Aprili 22 2024 kwa ajili ya kuaga mwili wa aliyekuwa mtangazaji wa Clouds Media Gardner Habash.
Mapema asubuhi ya leo Makonda alikuwa Dodoma alipokuwa ameitwa na Kamati ya Maadili ya Chama cha Mapinduzi ambapo bado haijafahamika amehojiwa kuhusu nini.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK