PAUL Makonda atua Msibani kwa Gardner Baada ya Kuhojiwa Maadili

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

PAUL Makonda atua Msibani kwa Gardner Baada ya Kuhojiwa Maadili

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda amefika kwenye viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam leo Jumatatu Aprili 22 2024 kwa ajili ya kuaga mwili wa aliyekuwa mtangazaji wa Clouds Media Gardner Habash.


Mapema asubuhi ya leo Makonda alikuwa Dodoma alipokuwa ameitwa na Kamati ya Maadili ya Chama cha Mapinduzi ambapo bado haijafahamika amehojiwa kuhusu nini.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad