AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Beki wa Klabu ya Kaizer Chiefs Luke Fleurs (24) amepigwa risasi na kufariki usiku wa kuamkia leo katika tukio la Unyang’anyi ambapo alivamiwa na majambazi na akanyang”anywa Gari yake katika kitongoji cha Florida huko Honeydew Johannesburg nchini Afrika Kusini.
Fleurs alisajiliwa na Kaizer Chiefs mwezi Oktoba 2023 na nia yake kubwa ilikuwa ni kushinda Taji la PLS akiwa Kaizer ndoto ambayo haijafanikiwa kufika hadi umauti unamkuta.
Mwaka 2020 Luke Fleurs alitajwa na IFFHS kama moja ya vipaji vitakavyokuja kufanya makubwa mbeleni.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK