AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Klabu ya Yanga imengia Mkataba wa miaka miwili na Shirika la Ndege la ATCL, wenye makubaliano ya kubadilishana huduma ambapo Yanga itapata punguzo la gharama za Usafiri na kuitangaza ATCL kwenye Safari zao.
Mbali na kuitangaza ATCL, pia Yanga wataitangaza Tanzania ikiwa ndio lengo Mama la Mkataba huo, amezungumza Mtendaji Mkuu wa ATCL Ladislaus Matindi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK