Ziiki Wajibu Shutuma Nzito za Diamond Platnumz

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Ziiki vs Diamond Platnumz
Ziiki imejibu shutma zilizotolewa na mmiliki wa lebo ya @wcb_wasafi kuhusu kuzuia wimbo wa "KIBANGO" wa @iamlavalava na @diamondplatnumz. Wanasema walipokea wimbo huo tarehe 16 Aprili 2024 na walitarajia kuutoa leo tarehe 19 Aprili 2024, ambapo ni kinyume na utaratibu wa kimkataba, wakidai kuwa utoaji huo ulikuwa nje ya utaratibu.

Kampuni hiyo inasisitiza kuwa hawakuzuia wimbo huo kutoka bali wanasisitiza umuhimu wa kufuata taratibu za biashara.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad