Helkopta iliyombeba Rais wa IRAN Yapotea, Zoezi la Kumtafuta Laendekea

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Watu watatu walio kwenye timu inayoendesha zoezi la kuitafuta helikopta iliyombeba Rais wa Iran, wameripotiwa kupotea.

Hii ni kutokana na hali mbaya ya hewa inayoendelea kukwamisha juhudi za kutafuta helikopta ilipoangukia.

Raisi wa Iran Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje Hossein Amirabdollahian walikuwa kwenye helikopta iliyopata ajali katika mkoa wa Azerbaijan Mashariki mwa Iran.

Msafara wa Rais huyo ulikuwa na helikopta tatu ambapo mbili zilizobeba mawaziri wawili zilifanikiwa kurudi salama.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad