AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hii ni kutokana na hali mbaya ya hewa inayoendelea kukwamisha juhudi za kutafuta helikopta ilipoangukia.
Raisi wa Iran Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje Hossein Amirabdollahian walikuwa kwenye helikopta iliyopata ajali katika mkoa wa Azerbaijan Mashariki mwa Iran.
Msafara wa Rais huyo ulikuwa na helikopta tatu ambapo mbili zilizobeba mawaziri wawili zilifanikiwa kurudi salama.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK