Rich Mavoko: Never Sijawahi Kuomba Kurudi WCB

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa

 

Rich Mavoko: Never Sijawahi Kuomba Kurudi WCB

Mwimbaji wa Bongofleva, Rich Mavoko amesema alishtushwa na taarifa zilizokuwa zinasambaa mtandaoni kuwa ameomba msamaha ili arudi kufanya kazi na WCB Wasafi.


Mavoko ambaye alitoka WCB mwaka 2018, alisema alisikia taarifa hizo za kizushi kupitia mdogo wake lakini baada ya kufuatilia aligundua ni uongo hivyo akapuuzia.


"Sijawahi kujaribu kuomba msamaha na hakuna kitu kama hicho, bora nivae shati lililochanika kuliko kutembea tumbo wazi, kikubwa naomba mashabiki zangu waendelee kunipa sapoti kupitia wimbo wangu mpya Usizuge.” amesema Mavoko.


_________

LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad