Shaffih Dauda 'Thamani ya Simba Sio Bilioni 20 Tena, Mo Sio Mwekezaji ni Mfadhili tu

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa




Tangu kuanza kwa mchakato wa uwekezaji ndani ya Simba miaka imepita na utaratibu wa uendeshaji wa klabu umebadilika sana

Asilimia 49% ambayo ni sehemu ya uwekezaji ndani ya Simba kama inavyoelekezwa na serikali wanatakiwa kuwa wawekezaji watatu na sio muwekezaji mmoja tena

Lakini pia watu wanapaswa kujua kuwa thamani ya Simba imebadilika sio bilioni 20 tena,inapaswa kuwa zaidi ya hapo

Mimi binafsi Mo simuiti muwekezaji kwa sasa ila ni mdau wa michezo au mfadhili wa Simba hivyo basi na yeye anapokuja na hoja ya kudai pesa zake alizotoa na yeye asikilizwe kwa sababu mchakato haujakamilika
_________

LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad