TUZO ZA BMT: Yanga Timu Bora ya Wanaume ngazi ya Klabu

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa

 

TUZO ZA BMT: Yanga Timu Bora ya Wanaume ngazi ya Klabu

Klabu ya Yanga imefanikiwa kushinda tuzo ya Timu bora ya Kiume ya Mwaka 2023 kwa ngazi ya vilabu kwenye tuzo zinazotolewa na Baraza la Michezo Tanzania (BMT).


Ndani ya mwaka huo Yanga Sc ilitwaa Ubingwa Ligi kuu, Ubingwa FA, Ngao ya Jamii sambamba na kufanikiwa kufika fainali ya kombe la Shirikisho Afrika.

_________

LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad