AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Gazeti moja huko South Africa limeweza kumpiga Picha Askari huyu huku akiwa amekalia bomba la bunduki kama inavyonesha kwenye picha hapo bila kuogopa kama inaweza jilipua kwa bahati mbaya ...Gazeti hilo likaamua kumpa cheo cha Polisi Mjinga kuliko wote Africa....Can you do like That?
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
Hata hapa kwetu Tanzania tunao wengi wajinga wajinga kuliko hata huyu
ReplyDeleteWajinga wa namna hiyo mbona wengi tu.
ReplyDeleteMi namwita soja....daily anacheza nayo so kwa nn asiwe kama fundi asiyeogopa gari anayoitindua mwenyewe
ReplyDeleteHawezi kuwa mjinga kwani anafahamu akifanyacho ndo maana akafanya hivyo..
ReplyDelete