AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"moja kati vitu ninavyojutia ni kurudisha kadi ya Chadema na kuingia CCM, najua nimebugi, lakini sio kama watu wanavyoongea kuwa nilipewa hela, kama nilipewa hela si saa hii ningekuwa nakula bata, lakini wapi! mi sijapewa hela.wanajuaje je kama nilitishiwa au vitu vingine kama hivyo..najua hapo nilibugi.Niliingia kwenye siasa kwasababu ya ushawishi wa watu, na nilishawishika kwasababu ya wimbo nilioutoa wakati hui "Mr Politician" lakini baada ya kuingia, niliona kabisa this is not what i can do, siasa ni mchezo mchafu na niliona vinani confuse" amesema Nakaaya
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
hata sasa unaweza rudi chadema nawakakupokea chadema ni chaguo sahihi usijutie sana ni mambo ya kawida inatokea kwa wengi
ReplyDeletepole sana dada yangu mi nitapiga harakati mwanzo mwisho wasomi wakubwa wameshindwa ko ni muda wa sisi wananchi kutoa mwelekeo wa nchi yetu haijalishi umri,kipato,taaluma,chama wala sababu nyingine yoyote.
ReplyDelete