M-RAP "SIUTAMBUI WIMBO WANGU ULIACHIWA NA B-HITS LEO, B-HITS NILISHA GIVE UP"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rapper M-Rap amesema hautambui wimbo ulioachiwa leo na B’Hits kwakuwa anaamini umeachiwa ili kumharibia mipango yake.

Rapper huyo aliyejitoa/ondolewa kwenye label hiyo wiki iliyopita aliachia wimbo mpya uitwao ‘Usiende Mbali’ aliomshirikisha Jux na kutayarishwa na AM Records na Jumatatu hii B’Hits wameachia wimbo wake mwingine mpya uitwao ‘Nishike’. “Mimi hii nyimbo sina taarifa nayo sasa sielewi sababu mimi nilishasema nimemaliza nao na nyimbo tayari nilishafanya sehemu nyingi kwahiyo hii siitambui,” M-Rap ameiambia Bongo5.

“Sawa ni yangu lakini hapo mwanzo walikataa kunipa mimi hiyo nyimbo sababu ni nyimbo ambayo mimi nilikuwa naiulizia itoke, kwahiyo mimi nilishaamua kugive up nikasema naendelea na mambo yangu mengine ilimradi tu nifanya kitu kingine kizuri,” ameongeza.

M-Rap amesema hatofanya chochote kuhusu wimbo huo kwakuwa hautambui.
 Bongo5
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad