HomeUdaku SpeshoMWEEE....HILI TUKIO LILINIPITA...KWELI NAPE KAOA AMA NI KAMCHEZO KA PHOTOSHOP? MWEEE....HILI TUKIO LILINIPITA...KWELI NAPE KAOA AMA NI KAMCHEZO KA PHOTOSHOP? 13 Udaku Special March 10, 2014 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA Nimekutana na hii picha Mtandaoni nikaona nishare na ninyi...Hivi kweli Nape Kaoa hivi karibuni ama ni Photoshop ..? Kama kweli hongera zake ....Maana na Upekuzi wangu hili tukio lilinipita mpaka nalikuta mtandaoni.. ------------------- NAFASI ZA AJIRA JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPAINTERNSHIP VACANCIESGOVERNMENT VACANCIESNGO'S VACANCIES GOODLUCK Tags Siasa Udaku Spesho Newer Older
kwani mpaka ushuhudie ww ndo inakuwa ndoa kwani we mungu?
ReplyDeletewho are uuuu!?!????
ReplyDeleteNdiyo..kama unavyoona! Kwan ulichanga hujaalikwa?
ReplyDeleteUtajua kila kitu kinachofanyika hapa duniani?????????!!!!!!!!!!!
ReplyDeleteKamchezo gani wakati kamuoa mama yako.
ReplyDeleteUlitaka akuoe ww? Kwani nape kuoa ni ajabu,acha maisha ya watu boya ww,km huna kazi kakune nazi...
ReplyDeleteutajiju babu ya ngoswe mwachie ngoswe
ReplyDeleteHha ha hha haaa..mbavu zangu...anyway napita tuuu
ReplyDeletehongera yake!
ReplyDeleteAchana na inshu za with...kwani kuoa mpaka akujulishe
ReplyDeleteWW msenge nini, kila kitu unataka kujua umekuwa mungu?
ReplyDeleteNape Umenuna! Kha umelazimishwa mkuu! Mkubwa kwako uwiiiiiiiii!
ReplyDeleteKwani ulikuwa mpenzi wake ndio kakusaliti
ReplyDelete