JE INAWEZEKANA KUPATA MKE AMA MUME MZURI KUPITIA FACEBOOK?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Katika safari ya mapenzi wanandoa huwa wanakutana katika maeneo mbalimbali, wapo wanaokutana vyuoni,shuleni, kwenye nyumba za ibada, sokoni, kwenye daladala, kuunganishwa na mtu mwingine, au baada ya kusikia sauti kwenye simu, redioni, hotelini na sasa wengine kupitia mitandao ya kijamii kama facebook

Ukweli ni kwamba katika mitandao unapoanzisha uhusiano na mtu usiyemfahamu inawezekana ameona picha yako tu nakukuambia kuwa anakupenda na wewe ukiona picha yake ukaridhika naye mkaamua kuanzisha uhusino ni vyema kuonana kabisa ili kuwa na uhakika na uhusiano mnaotaka kuanzisha  kwani unahitaji kumfahamu zaidi  na ndipo utakapoweza kufanya maamuzi ya kukubali au kukataa.

Anaweza kuwa rafiki yako wa kawaida lakini uhusiano ukaja baada ya kuonana mkafahamiana zaidi, kwani ukikurupuka na kutaka kuoana haraka haraka na yule ambaye mna chat tu kwenye mitandao unaweza kujikuta unajuta baadaye kwa maamuzi yako ni vyema kufahamiana zaidi ya kuchat ili kuwa na uhakika na maamuzi yako....Je Wewe Unaonaje Kuhusu hilo?
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

8 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. INAWEZEKANA,MAPENZI YA KWELI HAYACHAGUI MPENZI UTAMPATA MSIBANI,KWENYE GARI,AU KWENYE MTANDAO,NA HATA MNADANI INATEGEMEA MUNGU KAKUPANGIA WAPI,WENGINE WANAKUTANA HATA BAR.

    ReplyDelete
  2. Mmh haiwezekani!

    ReplyDelete
  3. INAWEZEKANA MIE WANGU NLIKUTANA NA WASSUP

    ReplyDelete
  4. on the road to hell da flower can make u happy,,,,,,,,nice way to marry a devil damn!!!!

    ReplyDelete
  5. Kweli uwezekano upo kabisa

    ReplyDelete
  6. Kweli kabisa uckurupuke tu chunguza kwanza...........

    ReplyDelete
  7. Kabla ya kuingia kwenye uhusino lazima kwanza muonane Na hiyo ndo hatua muhimu sana katika hiyo safari

    ReplyDelete
  8. Ndio maana ndoa za siku hizi ni kama watu wanafanya majaribio

    ReplyDelete

Top Post Ad